Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United haitaki kumuachilia Jadon Sancho kwa bei ya kutupa ifikapo mwezi Januari huku Muingereza huyo akiwa yuko mbioni kuondoka baada ya kubwatuana na kocha Erik Ten Hag.
Klabu ya Manchester United haitaki kumuachilia Jadon Sancho kwa bei ya kutupa ifikapo mwezi Januari huku Muingereza huyo akiwa yuko mbioni kuondoka baada ya kubwatuana na kocha Erik Ten Hag. Juventus wanamtaka kwa mkopo huku baadhi ya vilabu vya Saudi Arabia navyo vikiripotiwa kuwania saini yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live