Sun, 13 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Bayern Munich imekataa ofa ya kwanza ya Man United kutaka kumsajili beki wao raia wa Ufaransa Benjamin Pavard.
Klabu ya Bayern Munich imekataa ofa ya kwanza ya Man United kutaka kumsajili beki wao raia wa Ufaransa Benjamin Pavard. United wameonesha nia ya kumtaka beki huyo katika kikosi chao kuelekea msimu ujao 2023/24, je watakwenda kuboresha ofa yao?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live