Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bayern Munich wametolewa kwenye Kombe la FA la Ujerumani (DfB Pokal) na timu ya daraja la tatu, Saarbruecken.
Thomas Muller alianza kuifingia Bayern Munich dakika ya 16 lakini dakika ya 45+1 jamaa wakasawazisha kupitia kwa Patrick Sontheimer.
Dakika 90+6 wakaweka chuma cha pili na kupitia Marcel Gaus
Mwaka 2020 hawa jamaa wakiwa daraja la nne waliwatoa Fortuna Dusedolf kwenye mashindano haya haya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live