Mon, 29 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Bayern Munich imetwaa ubingwa wa Ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya FC Cologne na kuipokonya Borussia Dortmund tonge mdomoni.
Dortmund iliyokuwa kinara wa Bundesliga kabla ya mechi za leo imelazimishwa sare ya 2-2 dhidi ya Mainz na kupoteza nafasi ya kubeba ndoo.
Dortmund 2-2 Mainz Cologne 1-2 Bayern
Msimamo wa Bundasliga Timu mbili za juu
Bayern - Mechi 34 - alama 71 (+54)
Dortmund - Mechi 34 - alama 71 (+39)
Bayern Munich imetwaa ubingwa kwa faida ya utofauti mkubwa wa magoli (goal difference) dhidi ya Dortmund.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live