Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya msimu kumalizika wakiwa katika nafasi ya tatu ,Klabu ya Bayern imeanza kuwaaga wachezaji ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu ujao .
Tayari wameachana na mlinzi raia wa Senegal Bouna Sarr pamoja na mshambuliaji raia wa Cameroon Choupo Moting
Menejimenti ya Bayern ipo kwenye mazungumzo ya kuendela kuachana na baadhi ya wachezaji ambao ,mchango wao klabuni hapo umekuwa mdogo kwa siku za karibuni hivyo usishangae baadhi ya wachezaji ukisikia nao pia wametemwa siku za usoni
Chanzo: www.tanzaniaweb.live