Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Bayern München ipo katika harakati za kuhakikisha wanamuongezea mkataba wa miaka miatano kinda Jamal Musiala aliyeonesha nia ya kutaka kuondoka klabuni hapo mkataba wake wa Sasa utakapotamatika mwaka 2026.
Klabu ya Bayern München ipo katika harakati za kuhakikisha wanamuongezea mkataba wa miaka miatano kinda Jamal Musiala aliyeonesha nia ya kutaka kuondoka klabuni hapo mkataba wake wa Sasa utakapotamatika mwaka 2026. Manchester City,Madrid na Liverpool ni miongoni mwa Klabu zenye nia ya kumsajili Jamal.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live