Fri, 19 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FC Bayern ya Ujerumani haina nia ya kumuuza mshambuliaji wao raia wa Ujerumani Jamal Musiala na wanatayarisha kutoa ofa nono kwenye mkataba mpya kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21.
Klabu ya FC Bayern ya Ujerumani haina nia ya kumuuza mshambuliaji wao raia wa Ujerumani Jamal Musiala na wanatayarisha kutoa ofa nono kwenye mkataba mpya kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21. Manchester City ndoto zao zinataka kuzimwa, kwani wameonekana kuvutiwa na kinda huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live