Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa klabu ya Barcelona ya nchini Hispania, Xavi, ameiambia klabu hiyo kwamba anatamani kufanya kazi na kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva na hivyo wajipange kumletea.
Kocha wa klabu ya Barcelona ya nchini Hispania, Xavi, ameiambia klabu hiyo kwamba anatamani kufanya kazi na kiungo wa kati wa Manchester City na Ureno Bernardo Silva na hivyo wajipange kumletea. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 pia anawaniwa na Bayern Munich.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live