Fri, 12 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Xabi Alonso ameiongoza Klabu ya Bayer 04 Leverkusen ndani ya msimu huu kufikisha unbeaten 42 kwenye mashindano yote inayoshiriki [Bundesliga, DFB Pokal, UEFA Europa League].
Ana mchezo mmoja wa DFB Pokal ambao ni fainali ,kwenye Europa league Mchezo wa robo fainali ya kwanza dhidi ya West Ham United ameshinda mabao 2-0 akiwa katanguliza mguu mmoja nusu fainali na kwenye Ligi akishinda game ijayo atatangaza ubingwa.
Bayer Leverkusen ya Xabi Alonso:
◉ 42 mechi
◉ 37 ushindi
◉ 5 droo
◉ 0 kufungwa
◉ 118 magoli ya kufunga
◉ 31 magoli ya kufungwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live