Fri, 15 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FGA Talents kutoka Mkoani Morogoro Imemtambulisha kocha wa mpya wa makipa Ally Mustapha (Barthez).
Klabu ya FGA Talents kutoka Mkoani Morogoro Imemtambulisha kocha wa mpya wa makipa Ally Mustapha (Barthez). Ally Mustapha anajiunga FGA talents baada ya kuachana na klab ya TMA nayo inayoshiriki Championship.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live