Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FC Barcelona imemuondoa Dani Alves kwenye orodha ya ‘legend’ (Magwiji) wa klabu hiyo.
Klabu hiyo ilikuwa ikisubiri hukumu ya mahakama na sasa imefanya uamuzi juu ya jina la mchezaji huyo.
Alves alikutwa na hatia ya ubakaji na Alhamis ya wiki iliyopita alihukumiwa miaka minne na nusu jela.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live