Sun, 26 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Wanawake ya Barcelona imetwaa kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa Wanawake kufuatia ushindi wa dhidi ya Olympique Lyon kwenye fainali.
Mabao ya Barcelona katika mchezo huo yamefungwa na Aitana Bonmatí - 63’na Alexia Putellas - 90’+5.
Barcelona imetwaa ubingwa huo kwa msimu wa pili mfululizo baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Vfl Wolfsburg kwenye fainali ya msimu uliopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live