Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Barcelona inalenga kumsajili kinda wa kimataifa wa Mali Ibrahim Diarra mwenye umri wa wa miaka 16,
Klabu ya Barcelona inalenga kumsajili kinda wa kimataifa wa Mali Ibrahim Diarra mwenye umri wa wa miaka 16, Ibrahim Diarra amekuwa na kiwango bora katika michuano ya Kombe la Dunia ya vijana chini ya miaka 17.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live