Mon, 27 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Barcelona imepokea kichapo cha 1-0 dhidi ya Almeria inayoshika nafasi ya 15 kwenye msimamo wa Laliga. Hiki ni kipigo cha pili kwa Barcelona kwenye Ligi kuu Uhispania.
Barcelona imepokea kichapo cha 1-0 dhidi ya Almeria inayoshika nafasi ya 15 kwenye msimamo wa Laliga. Hiki ni kipigo cha pili kwa Barcelona kwenye Ligi kuu Uhispania. Barcelona bado inaendelea kusalia kileleni alama 59 baada ya mechi 23 ikiwa ni alama 7 zaidi ya Bingwa mtetezi Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live