Tue, 21 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Barcelona imempa ofa ya mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwingine kiungo Sergio Busquets, 34, ili kumzuia asiondoke dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Barcelona imempa ofa ya mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwingine kiungo Sergio Busquets, 34, ili kumzuia asiondoke dirisha lijalo la majira ya kiangazi. Inadaiwa Busquets amepokea ofa nyingi kutoka Marekani na Saudi Arabia na ndizo zinamfanya afikiri kwanza kabla ya kufanya uamuzi wa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia Nou Camp.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live