Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Barcelona imepigwa faini ya UEFA kiasi cha Euro 25,000 na imepigwa marufuku ya kuuza tiketi ya mechi moja kwa mashabiki wa ugenini kwenye mashindano ya UEFA kwa "Tabia ya kibaguzi" waliyofanya mashabiki kwenye mchezo dhidi Paris Saint German.
Klabu ya Barcelona imepigwa faini ya UEFA kiasi cha Euro 25,000 na imepigwa marufuku ya kuuza tiketi ya mechi moja kwa mashabiki wa ugenini kwenye mashindano ya UEFA kwa "Tabia ya kibaguzi" waliyofanya mashabiki kwenye mchezo dhidi Paris Saint German. Adhabu hii wataitumikia msimu ujao wa 2024-25.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live