Sat, 15 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
FC Barcelona hawatasikiliza ofa yoyote juu ya wachezaji hawa katika dirisha la usajili la majira ya joto, maana hawauzwi.
Ter Stegen, Araujo, Koundé, Christensen, Balde, Frenkie, Gavi, Pedri, Dembélé & Lewandowski.
Kocha wa Barcelona na Staa wa zamani wa timu hiyo Xavi Hernandez ni kama anatengeneza project mpya kupitia nyota hao.
Kwa maana hiyo kitendo cha kuwauza ni kurudisha nyuma mipango ya kukisuka kikosi chake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live