Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Barcelona imekua timu ya kwanza katika historia ya Ligi ya Mabingwa kuanzisha wachezaji 2 wachanga wenye umri wa miaka 17 kushuka chini katika mchezo wa hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa.
Lamine Yamal miaka 16
Pau Cubarsà miaka 17
Katika mchezo huo Barcelona iliibuka na ushindi wa mabao 3-1 na hivyo kusonga kwa hatua ya Robo Fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live