Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Barcelona itatoa dau la chini kumsajili João Félix kabisa na ikiwa Atlético hawatakubali, watatafuta kumsajili kwa mkopo kwa mwaka mwingine.
Barcelona itatoa dau la chini kumsajili João Félix kabisa na ikiwa Atlético hawatakubali, watatafuta kumsajili kwa mkopo kwa mwaka mwingine. Joao Felix hajaonesha kiwango akiwa na Atletico Madrid tangu alipotua nklabuni hapo kwa dau kubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live