Wed, 30 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Fc Barcelona inatarajia kuanza mchakato wa kumsajili Joao Felix masaa machache yajayo ambaye mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kuwa ndoto yake ni kuitumikia klabu hiyo.
Klabu ya Fc Barcelona inatarajia kuanza mchakato wa kumsajili Joao Felix masaa machache yajayo ambaye mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kuwa ndoto yake ni kuitumikia klabu hiyo. Kwa sasa Bodi ya Barcelona inashughulikia suala la Financial Fair Play, hivyo wakimaliza watatua kwa Felix.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live