Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya FC Barcelona inaweza kujaribu kumsajili kiungo wa klabu ya Newcastle United Bruno Guimaraes kwa mkataba wa mabadilishano ya wachezaji.
Klabu ya FC Barcelona inaweza kujaribu kumsajili kiungo wa klabu ya Newcastle United Bruno Guimaraes kwa mkataba wa mabadilishano ya wachezaji. Raphinha anaweza kujumuishwa kwenye dili hilo ili arudi Epl,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live