Meneja Mashindano TFF, Baraka Kizuguto ameteuliwa na CAF kuwa Mratibu (General Coordinator) wa mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jwaneng Galaxy (Botswana) vs Wydad AC (Morocco) utakaochezwa Februari 24, 2024.
Meneja Mashindano TFF, Baraka Kizuguto ameteuliwa na CAF kuwa Mratibu (General Coordinator) wa mchezo wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jwaneng Galaxy (Botswana) vs Wydad AC (Morocco) utakaochezwa Februari 24, 2024. Mchezo hup ni wa kundi B ambalo pia yupo mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano hayo, Simba SC ambaye siku hiyo naye atakuwa akikipiga na ASEC Mimosas Februari 23,2024.