Tue, 5 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bao la Declan Rice katika dakika ya 95 na sekunde ya 43 (95:43) ndio bao la ushindi la dakika za ‘jioni’ zaidi kwenye mechi za Ligi Kuu England kati ya Arsenal na Manchester United.
Bao la Declan Rice katika dakika ya 95 na sekunde ya 43 (95:43) ndio bao la ushindi la dakika za ‘jioni’ zaidi kwenye mechi za Ligi Kuu England kati ya Arsenal na Manchester United. Katika Mechi hiyo iliyopigwa wikiendi iliyopita Arsenal waliibuka na ushindi wa bao 3-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live