Sun, 15 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vinara wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Yanga SC watamkosa kiungo wao Yannick Bangala kwenye mchezo wa Ligi kuu leo dhidi ya Dodoma Jiji baada ya mchezaji huyo kufiwa na kaka yake.
Vinara wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Yanga SC watamkosa kiungo wao Yannick Bangala kwenye mchezo wa Ligi kuu leo dhidi ya Dodoma Jiji baada ya mchezaji huyo kufiwa na kaka yake. Na kocha wa klabu hiyo Nasreddine Nabi ametuma salama za pole kwenda kwa mchezaji huyo kwa niaba ya benchi la ufundi na wachezaji wote wa Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live