Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chippa United ya Afrika Kusini imefungiwa na FIFA kufanya usajili wa wachezaji mpaka pale itakapomlipa Beki wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda kiasi cha Shilingi Milioni 160 ambazo ni pesa anazoidai Klabu hiyo.
Klabu ya Chippa United ya Afrika Kusini imefungiwa na FIFA kufanya usajili wa wachezaji mpaka pale itakapomlipa Beki wa Kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda kiasi cha Shilingi Milioni 160 ambazo ni pesa anazoidai Klabu hiyo. Banda kwa sasa ameachana na Klabu hiyo na anakipiga katika Klabu ya Richards Bay FC ya humo humo Afrika ya Kusini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live