Tue, 1 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Richards Bay FC ya Afrika Kusini imethibitisha kumsajili beki kisiki Abdi Banda kutoka klabu ya Chippa United ya Nchini humo.
Klabu ya Richards Bay FC ya Afrika Kusini imethibitisha kumsajili beki kisiki Abdi Banda kutoka klabu ya Chippa United ya Nchini humo. Banda (28) raia wa Tanzania amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia klabu hiyo almaarufu Natal Rich Boys inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini mpaka 2025.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live