Mon, 29 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hatimaye wamebaki wachezaji watano ambao wameingia tano bora "Top five" ambao ni Karim Benzema, Jorginho, Ngolo Kante, Roberto Lewandowski na Lionel Messi.
Hatimaye wamebaki wachezaji watano ambao wameingia tano bora "Top five" ambao ni Karim Benzema, Jorginho, Ngolo Kante, Roberto Lewandowski na Lionel Messi. Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2010, jina la Cristiano Ronaldo halijatikea katika tano bora.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live