Mon, 29 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Klabu ya PSG, Lionel Messi amenyakua kwa mara ya saba tuzo ya Ballon D'or akimfunika mpinzani wake wa karibu Robert Lewandowski.
Messi amebeba tuzo hiyo akiwabwaga wachezaji wengine 29 kwa ujumla waliokuwa katika kinyang'anyiro.
kwa miaka mingi ya hivi karibuni tuzo hiyo ilitawaliwa na majina makubwa mawili Ronaldo na Leonel Messi kabla ya Modric kuingilia kati.
Katika tuzo za usiku wa leo , Ronaldo hakuwepo ukumbini lakini pia aliishia namba sita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live