Thu, 18 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyewahi kuwa Straika wa Simba, Jean Baleke ameonekana Uwanja wa ndege leo Julai 18 akiwa katika msafara wa Klabu ya Yanga wakielekea nchini Afrika ya Kusini kwa michuano maalum ya Mpumalanga Cup.
Baleke alikuwa akizungumzwa kujiunga na Yanga na hii huenda ikawa ni taarifa ya kweli, Tazama Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live