Tue, 13 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Simba, Jean Othos Baleke hapo juzi alifunga goli moja na kuisadia timu yake ya Al Ittihad kushinda goli 2-0 dhidi ya Al Madina kwenye Mchezo wa Ligi Kuu Nchini Libya.
Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Simba, Jean Othos Baleke hapo juzi alifunga goli moja na kuisadia timu yake ya Al Ittihad kushinda goli 2-0 dhidi ya Al Madina kwenye Mchezo wa Ligi Kuu Nchini Libya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live