Wed, 29 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa Simba SC, Jean Baleke, Clatous Chama na Aishi Manula, wameteuliwa kuwania Tuzo za Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) kwa mwezi Machi, 2023.
Nyota wa Simba SC, Jean Baleke, Clatous Chama na Aishi Manula, wameteuliwa kuwania Tuzo za Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) kwa mwezi Machi, 2023. Hii si mara ya kwanza kwa Chama kuwania tuzo hiyo, mara kadhaa ameteuliwa na kushinda. Kwa upande wa Baleke ndiye hii ni mara ya kwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live