Fri, 18 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Spain imethibitisha kuwa beki wa kushoto wa Barcelona, Alejandro Balde atakuwa mbadala wa José Gaya aliyepata jeraha kwenye kifundo cha mguu na kuondolewa kwenye kikosi cha Spain kitakachopambania kunyakuwa Kombe la Dunia huko Qatar.
Timu ya Taifa ya Spain imethibitisha kuwa beki wa kushoto wa Barcelona, Alejandro Balde atakuwa mbadala wa José Gaya aliyepata jeraha kwenye kifundo cha mguu na kuondolewa kwenye kikosi cha Spain kitakachopambania kunyakuwa Kombe la Dunia huko Qatar. Michuano ya Kombe la Dunia itaanza Novemba 20 mwaka huu nchini Qatar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live