Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Lisandro Martínez atafanyiwa upasuaji wa jeraha lake kwa mara ya pili na atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi Miwili Mpaka Mitatu.
Lisandro Martínez atafanyiwa upasuaji wa jeraha lake kwa mara ya pili na atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi Miwili Mpaka Mitatu. Tayari Man United inakabiliwa na idadi kubwa ya majeruhi kipindi hiki ambacho wanapambana kurudisha ari ya ushindi kikosini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live