Wed, 20 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa Yanga, Ibrahim Bacca ataukosa mchezo wa leo dhidi ya Medeama kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano.
Beki wa Yanga, Ibrahim Bacca ataukosa mchezo wa leo dhidi ya Medeama kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano. Yanga inacheza na Medeama mchezo wa Kundi D hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: