Wed, 15 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa za uhakika kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema beki wa kitasa wa Klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania, Ibrahim Hamad 'Bacca' amesaini Mkataba wa Miaka mitatu wa kuendelea kusalia Jangwani mpaka June 30,2027.
Taarifa za uhakika kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema beki wa kitasa wa Klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania, Ibrahim Hamad 'Bacca' amesaini Mkataba wa Miaka mitatu wa kuendelea kusalia Jangwani mpaka June 30,2027. Mkataba wa sasa wa beki huyo mzaliwa wa Zanzibar ulikuwa unamalizika mwezi Desemba mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: