Wed, 19 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baba Mzazi wa Kobbie Mainoo’s hapo ilimbidi asimame wakati Kijana wake akiwa anaingia Uwanjani akichukua nafasi ya Jude Bellingham katika dakika ya 86 ya Mchezo.
Furaha yake Kubwa ni kuwa katika siku Maalumu ya Wakina Baba Duniani na ndo Kijana wake kwa mara ya Kwanza anaitumikia timu yake ya Taifa katika Moja ya Michuano mikubwa.
Katika Mchezo huo Uingereza iliibuka na Ushindi wa Mabao 1-0 dhidi ya Serbia, Juni 16, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live