Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Baada ya maamuzi ya TFF, Fei Toto azungumza kwa mara ya kwanza

Feisal Salum Asema Hili Feisal Salum

Fri, 5 May 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Masaa machache tangu Kamti ya Sheria na hadhi za wachezaji kutupilia mbali maombi ya Kiungo wa Yanga Feisal Salum "Fei Toto" kuvunja Mkataba na Klabu ya Yanga na kusema kuwa mchezaji huyo ni mali halali ya Yanga.

Hatimaye mchezaji huyo kwa mara ya kwanza ameibuka na kuandika ujumbe katika ukurasa wake wa Instagram.

Feisal ameandika;

“You will face many defeats in life, but never let yourself be defeated” Maya Angelou

Utakumbana na kushindwa mara nyingi maishani, lakini kamwe USIJIRUHUSU kushindwa..."

Chanzo: www.tanzaniaweb.live