Sun, 12 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Sudan (Sudan FFootball Association) limemtimua kocha wa Timu ya Taifa ya nchi hiyo Hubert Velud (62) kutokana na mfululizo wa matokeo mabaya katika Kombe la Dunia la nchi za Kiarabu (FIFA Arab Cup).
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Sudan (Sudan FFootball Association) limemtimua kocha wa Timu ya Taifa ya nchi hiyo Hubert Velud (62) kutokana na mfululizo wa matokeo mabaya katika Kombe la Dunia la nchi za Kiarabu (FIFA Arab Cup). Sudan imeruhusu magoli 10 pasipo wao kufunga bao lolote katika michezo yao mitatu hatua ya makundi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live