Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Baada ya kumkanda Mnyama, Al Ahly haoo, wamesepa zao!

Ahly Airportsz Al Ahly

Sat, 30 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mabingwa Afrika Al Ahly tayari wameianza safari ya kurejea nchini Misri baada ya kumaliza mchezo wao wa jana dhidi ya Simba.

Kuonesha umuhimu wa mchezo wa mkondo wa pili utakaopigwa Aprili 5 mwaka huu, mapema leo timu hiyo ilianza safari ya kurejea nyumbani kwenda kujiandaa na mchezo huo.

7

Mabingwa hao wakihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika wataingia kwenye mchezo wa mkondo wa pili wakiwa na uongozi wa bao 1-0 ushindi waliopata jana Dar es Salaam.

Una maoni, tuandikie!

Chanzo: www.tanzaniaweb.live