Sat, 25 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
MABINGWA watetezi, Simba SC wamerejea Jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza Mchezo wao dhidi ya KMC FC ambapo Simba iliibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
MABINGWA watetezi, Simba SC wamerejea Jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza Mchezo wao dhidi ya KMC FC ambapo Simba iliibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live