Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Kimatafa wa Ujerumani na Real Madrid Toni Kroos (34) ametangaza kustaafu Soka ifikapo mwisho wa Msimu huu.
Kroos anaondoka Real Madrid Mwishoni mwa msimu huu na kustaafu baada ya michuano ya Euro 2024.
Toni Kroos ni miongozi mwa wachezaji ambao wamebeba kila Kombe kwa ngazi ya Klabu akiwa na vilabu vya Bayern Munich na Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live