Mon, 24 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Sudan, Sharaf Eldin Shaiboub Ali Abdelrahman amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia APR ya Rwanda.
Kiungo huyo mshambuliaji aliwahi pia kuitumikia Simba kabla ya kutimkia nchini kwao.
"Nimefurahi kuwa hapa APR," alinukuliwa baada ya kusaini mkataba kwenye timu hiyo inayomilikiwa na jeshi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live