Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Ufaransa, Kylian Mbappe amekamilisha taratibu zote za usajili za kujiunga na Real Madrid akitokea PSG.
Kwa mujibu wa ripoti, Mbappe atakuwa akilipwa mshahara wa €15m kwa mwaka sawa na Tshs Bilioni 42.4
Mbali na mshahara, Mbappe atalipwa bonasi ya usajili ya €100m sawa na Tshs Bilioni 283 ambayo kila mwaka atalipwa €20m (Tshs Bilioni 57) kwa kipindi cha miaka 5.
Taarifa hiyo imetolewa na Klabu ya Real Madrid ikiwa ni taarifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live