Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

#BREAKING: Real Madrid watangaza kumsajili Kylian Mbappe

Skysports Kylian Mbappe Psg 6462523 Kylian Mbappe

Mon, 3 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Winga wa Ufaransa, Kylian Mbappe amekamilisha taratibu zote za usajili za kujiunga na Real Madrid akitokea PSG.

Kwa mujibu wa ripoti, Mbappe atakuwa akilipwa mshahara wa €15m kwa mwaka sawa na Tshs Bilioni 42.4

Mbali na mshahara, Mbappe atalipwa bonasi ya usajili ya €100m sawa na Tshs Bilioni 283 ambayo kila mwaka atalipwa €20m (Tshs Bilioni 57) kwa kipindi cha miaka 5.

Taarifa hiyo imetolewa na Klabu ya Real Madrid ikiwa ni taarifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live