Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Brighton, Kaoru Mitoma amesaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea Brighton.
Kama ilivyoripotiwa mara ya kwanza, Mshambuliaji huyu kutoka Japan alikubali mkataba mpya wiki zilizopita na sasa ameweka kalamu kwa karatasi.
Barcelona ni miongoni mwa klabu ambazo zimeonyesha nia ya kumnunua nyota huyo mwenye umri wa miaka 26.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live