Tue, 18 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Azam FC imemtangaza mtangazaji Hasheem Ibwe kama Kaimu Afisa Habari wa timu hiyo kuanzia Oktoba 18, 2022 hadi hapo itakapotangaza vinginevyo.
Klabu ya Azam FC imemtangaza mtangazaji Hasheem Ibwe kama Kaimu Afisa Habari wa timu hiyo kuanzia Oktoba 18, 2022 hadi hapo itakapotangaza vinginevyo. Uamuzi huo umekuja baada ya aliyekuwa Afisa Habari, Thabit Zakaria kufungiwa miezi mitatu kwa kosa la kuwashutumu waamuzi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live