Mon, 18 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya taifa ya England imeamriwa kucheza mchezo wao ujao wa mashindano ya UEFA bila mashabiki, kutokana na vurugu zilizofanywa na Mashabiki wake wakati wa fainali za michuano ya Euro.
Mbali na adhabu hiyo, Chama cha Soka cha England FA, pia kimepigwa faini ya Euro 100,000 kwa kushindwa kuwadhibiti Mashabiki hao
UEFA pia imeaagiza FA kushirikiana na mamlaka zinazohusika kufanya juhudi zao na kuchukua hatua dhidi ya waliohusika na kuwawajibisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live