Thu, 10 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya ASEC Mimosas kutokea nchini Ivory Coast imewasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere leo Februari 10.
Asec watavaana na Simba katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika Barani Afrika hatua ya Makundi.
Mchezo huo utapigwa Jumapili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku wakidai kuwa wamekuja kwa lengo la ushindi tu.
Tazama video hapa chini kusikiliza Kocha Mkuu wa Kikosi hicho alichokizungumza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live