Wed, 24 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Angola imefuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la Mataifa Afrika AFCON 2023 sambamba na AZIZ KI na wenzake wa Burkina Faso huku Riyard MAHREZ na wenzake wa Algeria wakisukumizwa NJE.
FT: Angola 2-0 Burkina Faso (Mabululu 36)
FT: Mauritania 1-0 Algeria (Dellahi 37)
MSIMAMO KUNDI D Angola..........Pts 7 Burkina Faso...Pts 4 Mauritania.......Pts 3 Algeria...............Pts 2
Mauritania ipo kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kufuzu hatua ya 16 bora kupitia nafasi nne za ‘best looser’
Chanzo: www.tanzaniaweb.live