Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Aziz Ki bado yupo sana Jangwani

Aziz Ki Yanga Dar Aziz Ki

Wed, 20 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Tetesi zinadai kuwa Stephan Aziz Ki amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia kwenye klabu ya Yanga baada ya majadiliano ya pande zote mbili.

Tetesi zinadai kuwa Stephan Aziz Ki amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kusalia kwenye klabu ya Yanga baada ya majadiliano ya pande zote mbili. Nyota huyo alikuwa anamaliza mkataba wake wa sasa mwishoni mwa msimu huuu na majadiliano baina ya pande zote yalianza toka mwishoni mwa mwaka jana na sasa yamefikia mahali pazuri na muda wowote atasaini mkataba mpya.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live