Mon, 8 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Wananchi Yanga, Stephen Azizi Ki alikuwa sehemu ya Kikosi Cha timu ya Taifa ya Burkina Faso kilichoshuka Dimbani hapo Jana kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Iran.
Burkina Faso wanafanya maandalizi ya kujiweka sawa kabla ya AFCON , michuano ambayo itapigwa pale Ivory Coast siku Chache zijazo.
Iran walishinda mabao 2-1 huku Stephen Azizi Ki akicheza dakika zote 90 kunako mtanange huu wa kirafiki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live